Jeremiah 20:3

3Siku ya pili Pashuri alipomwachia kutoka kwenye mkatale, Yeremia akamwambia, “Bwana hakukuita jina lako kuwa Pashuri bali Magor-Misabibu.
Magor-Misabibu maana yake hapa ni Vitisho pande zote.
Copyright information for SwhNEN